Nafasi Ya Matangazo

November 03, 2014

Imamu wa Msikiti wa Kigogo jijini Dar es Salaam, Shikh Hemed Jalala akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam hii leo muda mfupi kabla ya kuanza maandamano ya amani ya kuazimisha kifo cha Imam Hussein bin Ali ambaye ni mjukuu wa pili wa Mtume Mohamad (S.A.W)  jijini Dar es Salaam leo.
Sheikh Noor Mohamed kutoka Ghana nae akizungumza na wanahabari juu ya maadhimisho hayo. 

Immam Hussein alikuwa ni kiongozi aliyehimiza utu katika jamii. Sheikh Jalala ameungana na Sheikh Noor Mohamed kutoka Ghana kupinga vikali yale yote yanayofanywa na vikundi vya kigaidi na kusema ndio uislamu si kweli. waio kwa pamoja wanasema Islam ni dini ya upendo na amani na kamwe hakuna semehu inayowaongoza kufanya mauaji kwa binadamu wenzao.
 Waislamu wa Shiha wakiungana na waislamu wengine mbalimbali katika matembezi ya amani kuadhimisha kifo cha Imam Hussein bin Ali ambaye ni mjukuu wa pili wa Mtume Mohamad (S.A.W)  jijini Dar es Salaam leo.
Waislamu wa Shiha wakiungana na waislamu wengine mbalimbali katika matembezi ya amani kuadhimisha kifo cha Imam Hussein bin Ali ambaye ni mjukuu wa pili wa Mtume Mohamad (S.A.W)  jijini Dar es Salaam leo.
Posted by MROKI On Monday, November 03, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo