Nafasi Ya Matangazo

September 06, 2014

 Bondia bonans Samweli kushoto akimrushia konde Julius Kisalawe wakati wa mpambano wao uliofanyika katika GYM ya Ndame Dar es salaam jana Kisalawe alishinda kwa point mchezo huo
Bondia Julius Kisalawe kushoto akimtupia konde Bonans Samweli wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa Ndame GYM Manzese Dar es salaam jana Kisalawe alishinda kwa point mpambano huo.
 Bondia Julius Kisalawe akinyooshwa mkono juu kuashilia ushindi wake.
 Mabondia Ally Yusuph kushoto akimtupia konde Sadam Manjepa bila mafanikio wakati wa mpambano wao uliofanyika jana katika GYM ya Ndame manzese Dar es salaam Yusuph alishinda kwa point.
Mabondia Tasha Mjuaji kushoto akipambana na Hamisi Kicheba wakati wa mpambano wao uliofanyika katika GYM ya Ndame Manzese Midizini Dar es salaam jana Mjuaji alishinda kwa K,o ya raundi ya pili picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com.
Posted by MROKI On Saturday, September 06, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo