Nafasi Ya Matangazo

August 04, 2014

 Kikosi kazi cha PASS kikiwa kamili kusubiri wananchi na wadau mbalimbali wa Kilimo kutembelea banda lao lililopo katiuika viwanja vya Maonesho ya Wakulima yanayoendelea Kitaifa katika viwanja vya Ngongo Mkoani Lindi. PASS hutoa huduma mbalimbali ikiwepo dhamana ya mikopo ya kilimo na ufugaji katika taasisi za fedha nchini.

Posted by MROKI On Monday, August 04, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo