Nafasi Ya Matangazo

January 01, 2014

 Waziri mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akizungumza katika sherehe ya mwaka mpya nyumbani kwake Ngarashi Monduli.Pembeni yake ni mkewe mama Regina Lowassa.
Lowassa akiwasalimia wageni waalikwa.
 Wageni waalikwa mbalimbali

Mwenyekiti wa wenyeviti wa uvccm Manko Hiru akizungumza katika sherehe hizo

 Akizungumza na Naibu waziri wa ardhi na nyumba OleMedei
Posted by MROKI On Wednesday, January 01, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo