Nafasi Ya Matangazo

December 20, 2013

HATA KAMA IMEVUNJIKA GEARIDE LINAENDELEA... Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania Kikosi cha Maji, wakiwa katika gwaride maalum hivi karibuni huku mmoja wao akiwa ameshikilia kitako cha bunduki ambayo ilivunjika katika gwaride hilo la kumuaga aliyekuwa Mkuu wa Kikosi hicho.
Posted by MROKI On Friday, December 20, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo