Nafasi Ya Matangazo

June 25, 2013

 Mabalozi wa kinywaji cha Johnnie Walker kutoka Kampuni ya Bia ya Serengeti  wakionesha wageni waalikwa moja ya aina ya Johnnie Walker.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Steve Gannon(kulia) na mdau Mr. Paul(kushoto) wakiwa washika chupa ya Johnnie Walker blue label
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Steve Gannon (wa pili kushoto) katika picha ya pamoja na Afisa mawasiliano wa SBL Bi. Hawa (wa pili kulia) wakiwa na wadau  Paul(kulia) na Mac(kushoto) waliohudhuria katika hafla ya ‘Johnnie Walker Mentorship’ iliyoandaliwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti jijini Dar es Salaam.

 Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Bia ya Serengeti waliohudhuria hafla hiyo
 Baadhi ya wageni waliohidhuria hafla ya Johnnie Walker Mentorship wakifuatilia kwa makini namna ya utumiaji wa Whisky aina ya Johnnie Walker kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Steve Gannon(hayupo pichani)
 Mtaalamu wa cocktail Mr. Mikey, akimimina mchanganyiko wake murua kabisa uliotokana na vinywaji vya Johnnie Walker Mentorship maalum kwa hafla hiyo iliyofanyika Escape Club jijini Dar es Salaam.


 Mmoja wa mabalozi wakuu wa kinywaji cha Johnnie Walker Danis Ssebo akiwamiminia wageni waalikwa kinywaji cha John Walker Black label waweze kukionja na kujua ladha yake katika hafla ya ‘Johnnie Walker Mentorship’ iliyoandaliwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti jijini Dar es Salaam

Posted by MROKI On Tuesday, June 25, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo