Nafasi Ya Matangazo

May 24, 2013

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mh Samuel Sitta akiwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka 2013/14 Bungeni mjini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria,Mh Mathias Chikawe (kushoto), Mbunge wa Sengerema,Mh William Ngeleja na Mbunge wa Peramio, Mh Jenister Mhagama wakifurahi jambo wakati wakitoka ndani ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana. Picha zote na Zawadi Msalla wa MAELEZO.
Posted by MROKI On Friday, May 24, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo