Nafasi Ya Matangazo

May 24, 2013


Mkuu wa Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma, Betty Mkwasa (nguo nyekundu) akitoka katika kukagua mitambo ya kusukumua maji iliyopo katika vyanzo vya maji vya Kijiji cha Chipanga B wilayani humo ikiwa ni maandalizi kwa ajili ya kuanza kuweka mabomba mapya ambayo yanatakiwa kufika kwenye tanki ambalo mwisho wa kuingia maji humo ilikuwa mwaka 1970. Vijiji 5 vitafaidikia na mradi huo.
Posted by MROKI On Friday, May 24, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo