Nafasi Ya Matangazo

April 29, 2013

Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya wa miondoko ya kufokafoka,Joh Makini akifanya vitu vyake mbele ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mt. Augustine jijini Mwanza waliofurika kwa wingi kwenye viwanja vya Raila Odinga ndani ya Chuo hicho,jijini Mwanza. 

Hii ni katika Uzinduzi wa Tamasha la kampeni ya kinywaji cha Grandmalt ya kuwashindanisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja na fedha taslimu.Kampeni hiyo inajulikana kama Exel with Grand Malt, tamasha hilo lilifanyikia katika viwanja vya Raila Odinga ndani ya Chuo Kikuu Mt. Augustine jijini Mwanza.

Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya wa miondoko ya kufokafoka,Joh Makini akifanya vitu vyake mbele ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mt. Augustine jijini Mwanza waliofurika kwa wingi kwenye viwanja vya Raila Odinga ndani ya Chuo hicho,jijini Mwanza.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mt. Augustine jijini Mwanza wakichuana vikali katika Mpira wa Wavu (Vollyball) kwenye Uzinduzi wa Tamasha la kampeni ya kinywaji cha Grandmalt ya kuwashindanisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja na fedha taslimu.Kampeni hiyo inajulikana kama Exel with Grand Malt, tamasha hilo lilifanyikia katika viwanja vya Raila Odinga ndani ya Chuo Kikuu Mt. Augustine jijini Mwanza.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mt. Augustine jijini Mwanza wakichuana vikali katika Mtanange wa Mpira wa Miguu kwenye Uzinduzi wa Tamasha la kampeni ya kinywaji cha Grandmalt ya kuwashindanisha wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja na fedha taslimu.Kampeni hiyo inajulikana kama Exel with Grand Malt, tamasha hilo lilifanyikia katika viwanja vya Raila Odinga ndani ya Chuo Kikuu Mt. Augustine jijini Mwanza.
Posted by MROKI On Monday, April 29, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo