Nafasi Ya Matangazo

January 11, 2013

 Mwanamitindo aliebuka na taji la Unique model of the year 2012/2013 kutoka katika shindano la Unique model 2012 Catherine masumbigana anatarajiwa kuonekana kwa mara kwanza karika runway ya lady in Lady baada ya kunyakua taji hilo mwishoni mwa mwaka jana.
 
 Catherine Masumbigana ndiye atakaekuwa yule mwanamitindo atakaetoka na vazi la LADY IN RED usiku wa tarehe 9 february.
 
 Mipango na mikakati ya mwanamitindo huyu ni kusonga mbele katika tasnia ya mitindo na kuhamasisha tasnia ya mitindo kwa wanamitindo wachanga kukua siku hadi siku katika sanaa.
Posted by MROKI On Friday, January 11, 2013 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo