Nafasi Ya Matangazo

October 10, 2012

WAREMBO wanaoshirikishindano la Redds Miss Tanzania 2012 leo walitembelea Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro na kujionea vitu mbalimbali katika bonde hilo ambalo lina mambo mengi ya ajabu miongoni mwa hifadhi.
Mbali na kujionea wanyama wa aina mbalimbali na ndege pia warembo hao walipata fursa ya kujifunza juu ya Bonde hilo ambalo lipo katika mchakato wa kuingia katika Maajabu ya dunia.
Zifuatazo ni picha mbalimbali za warembo hao wakiwa katika Bonde hilo la hifadhi ya Ngorongoro.






















Posted by MROKI On Wednesday, October 10, 2012 1 comment

1 comment:

  1. I enjoyed reading your this informative article and considering the points you made. You make a lot of sense. This is an excellent piece of writing. Thanks for sharing this so we can all read it.

    ReplyDelete

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo