Nafasi Ya Matangazo

August 29, 2012

 Mbunge wa Mvemero, Amos Makala akionyeshwa moja ya miradi aliyoitolewa msaada, hapa ni Shule ya Msingi Mnazi Mmoja iliyopo katika kijiji cha Kidudwe
 Mbunge wa Mvomero na Naibu Waziri,Habari, Utamaduni na Michezo, Amos Makalla mwenye suti akipokelewa na viongozi wa Chama cha Mapinduzi wa Wilaya ya Mvomero wakati wa ziara ya kutembelea jimbo hilo hivi karibuni.
 Mbunge wa Mvomero na Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Amoss Makalla akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha Kidudwe kata ya Mtibwa mkaoni Morogoro hivi akribu akiwa katika ziara
Mbunge wa Mvomero, Amos Makala akiangalia jinsi ujenzi wa Daraja unavyoendelea katika Kijiji cha Kisala kilichopo katika Kata ya Mtibwa mkoani Morogoro
Posted by MROKI On Wednesday, August 29, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo