Nafasi Ya Matangazo

July 02, 2012

 Meneja Uhusinao wa Airtel, Jackson Mbando, akizungumza katika uzinduzi wa promotion kabambe kwa wateja wao ijulikanayo kama “kula Dabo”  kupitia huduma ya Airtel Money. Uzinduzi wa promotion hiyo ameufanya leo katika viwanja vya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam(DITF) maarufu Saba Saba yanayopendelea katika barabara ya Kilwa jijini.
 Meneja Uhusinao wa Airtel, Jackson Mbando,(aliye chuchuma mbele) akipiga picha ya pamoja na baadhi ya vijana wanaotoa huduma mbalimbali katika banda la Airtel, baada ya uzinduzi wa promotion kabambe kwa wateja wao ijulikanayo kama “kula Dabo”  kupitia huduma ya Airtel Money. Uzinduzi wa promotion hiyo ameufanya leo katika viwanja vya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam(DITF) maarufu Saba Saba yanayopendelea katika barabara ya Kilwa jijini.
 Lango kuu la kuingilia katika Kijiji cha Airtel katika viwanja vya Maonesho saba saba
 Wateja wakipata huduma katika vibanda vilivyopo Kijiji cha Airtel
 Chumba maalum cha Internet
 
 full kujiachia na 3.75G ya internet ndani ya kijiji cha Airtel
Wengi wanaingia kijijini hapa
Posted by MROKI On Monday, July 02, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo