Nafasi Ya Matangazo

May 31, 2012

UFUNGUZI WA CITY SPORTS LOUNGE!!

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Mh. Januari Makamba, akizungumza na William Malecela, pembeni ni mkewe Mheshimiwa, Mrs. Makamba, kwenye ufunguzi wa City Sports Lounge. Kiota cha Uhakika kilichopo karibu na Mzungungo wa Askari katikati ya jiji la Dar es Salaam.
Siku ya Ufunguzi wa City Sports Lounge, picha za wananchi mbali mbali waliohuduria wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Club, Bw. JumaPinto, (mwenye fulana ya kijani), hapa chini aliyesimama ni Mjumbe wa UV-CCM, Taifa, Mh. Ridhiwani Kikwete.
Posted by MROKI On Thursday, May 31, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo