Nafasi Ya Matangazo

March 30, 2012

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mkutano  wa Kimataifa wa Mamlaka za Kuzuia na Kupambana na Rushwa kutoka nchini mbalimbali duniani mjini Arusha leo. Miongoni mwa nchi zinazoshiriki katika mkutano huo ni pamoja na Morocco , Uingereza, Qatar, Uganda, Romania, Brazil, Austria, india, Belgium , Spain, Ukraine , Malsiyia , Namibia na Mwenyeji Tanzania.
Posted by MROKI On Friday, March 30, 2012 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo