Nafasi Ya Matangazo

October 03, 2011

Askofu wa Kanisa la Good News For All la jijini Dar es Salaam, Ask. Charles Gadi akifafanua jambo katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo juu ya Kanisa hilo kuandaa mkutano mkubwa Oktoba 6, mwaka huu kwaajili kuliombea taifa utakaofanyika katika Viwanjavya Biafra. Mkutano huo utahusisha viongozi wadini na madhehebu mbalimbali.

Posted by MROKI On Monday, October 03, 2011 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo