Miss Tabata 2010 Consolata Lucas akipungia mkono mashabiki mra baada ya kutangazwa mshindi katika shindano lililofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye ukumbi wa Dar West Tabata jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo kulia ni mshindi wa tatu Lilian Andrew na kushoto ni mshindi wa pili Sinthia Bavu. Wakijinafasi na kivazi cha ufukweni.
Vazi la usiku...
Tano bora ya Miss Tabata 2010 kuanzia kulia ni Sinthia Bavu, Harrieth Mulumba, Doreen Deus, Lilian Andrew na Consolata Lucas.
0 comments:
Post a Comment