Kama mkereketwa wa mambo ya lugha hili tangazo hata mimi lilinivutia. Nilipoliweka katika blogu yangu na kupata maoni ya Wazanzibari wenyewe, nilifikia hitimisho kwamba pengine ni tangazo la kiwango cha juu na lenye ubunifu wa kutosha. Hassan, Please don't kill me with food!
Kama mkereketwa wa mambo ya lugha hili tangazo hata mimi lilinivutia. Nilipoliweka katika blogu yangu na kupata maoni ya Wazanzibari wenyewe, nilifikia hitimisho kwamba pengine ni tangazo la kiwango cha juu na lenye ubunifu wa kutosha. Hassan, Please don't kill me with food!
ReplyDeleteMaoni yako hapa: http://matondo.blogspot.com/2009/11/hassan-dont-kill-me-with-food.html#comments