Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria, Prof Tulli Mbwete (kulia) akimwelezea Mbunge wa Monduli, Edward Lowasa juu ya Mahafali ya Chuo Hicho yatakayo fanyika Kibaha Oktoba 31 mwaka huu katika Makau makuu ya Chuo hicho. Pia alikaribisha katika mahafali hayo.
0 comments:
Post a Comment