July 09, 2026

MWAKALEBELA AFARIKI DUNIA

Mwandishi Mwandamizi wa Gazeti la Daily News, Leonard Wilfred Mwakalabela amefariki dunia.

Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti la Serikali (TSN) Bi. Aisha Dachi imesema Mwakalebela amefikwa na umauti Julai 08, 2026. 

No comments:

Post a Comment