LYATUU ATEMBELEA BANDA LA PBPA KATIKA MAONESZ
Mkurugenzi wa Sera na Mipango kutoka Wizara ya Nishati,Petro Lyatuu ametembelea banda la Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA ) katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba)leo Julai 11 2026.
No comments:
Post a Comment