KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
January 31, 2026
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2025 HAYA HAPA
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) leo Januari 31,2026
limeweka hadharani matokeo ya mitihani ya kidato cha nne kwa mitihani iliyofanyika
kuanzia Novemba 17,2025.
Matokeo hayo yametangazwa na Katibu Mtendaji wa
Baraza, Prof. Said Mohamed.
No comments:
Post a Comment