KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
July 25, 2025
WAZIRI MKUU ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA UAE
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 25,2025 ametembelea ubalozi wa Tanzania, Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) uliopo Abudhabi.
Alipokelewa na Balozi wa Tanzania UAE Luteni Jenerali Mstaafu,Yacub Mohmed na watumishi wa ubalozi huo.
No comments:
Post a Comment