KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
June 13, 2025
RAIS SAMIA AMTEUA MHE.JAJI WA RUFANI GEORGE MASAJU KUA JAJI MKU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan atamuapisha Mhe. Jaji George Mcheche Masaju kuwa Jaji Mkuu Juni 15, 2025 Ikulu Chamwino Dodoma.
No comments:
Post a Comment