March 09, 2025

ETDCO yashiriki Maadhimisho ya Siku ya wanawake duniani

BabaWafanyakazi wa Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme ( ETDCO) wameshiriki sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani zilizofanyika Kitaifa jijini Arusha.





No comments:

Post a Comment