February 08, 2025

NAIBU WAZIRI WA MADINI DKT. KIRUSWA KUNOGESHA BONANZA LA MADINI

Naibu Waziri wa Madini, Mhe. Dkt. Steven Kiruswa anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika  Bonanza la Madini linaloshirikisha Wizara ya Madini na Taasisi zake linaloendelea katika Viwanja vya Shule ya Sekondari ya John Merlini jijini Dodoma.










No comments:

Post a Comment