Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Dkt. Samia Suluhu Hassan akipata maelezo kuhusu Maabara ya kisasa ya dhahabu iliyopo katika Soko Kuu la Dhahabu
Geita mara baada ya kuwasili Mkoani Geita tarehe 13 Oktoba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Dkt. Samia Suluhu Hassan akipata maelezo kuhusu Maabara ya kisasa ya dhahabu iliyopo katika Soko Kuu la Dhahabu
Geita mara baada ya kuwasili Mkoani Geita tarehe 13 Oktoba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Dkt. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Bw. Mussa Waziri kuhusu Maabara ya dhahabu
iliyopo katika Soko Kuu la Dhahabu Geita mara baada ya kuwasili Mkoani Geita
tarehe 13 Oktoba, 2024.
Muonekano wa Soko Kuu la
Dhahabu Geita lililopo Mkoani Geita.
No comments:
Post a Comment