September 08, 2022

MAJALIWA AZUNGUMZA KATIKA KIKAO NA VIONGOZI WA MKOA WA TABORA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Kikao na Viongozi wa Mkoa wa Tabora kwenye ukumbi wa Isike Mwanakinyungi  katika Manispaa ya Tabora, Septemba 8, 2022.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Kikao na Viongozi wa Mkoa wa Tabora kwenye ukumbi wa Isike Mwanakinyungi  katika Manispaa ya Tabora, Septemba 8, 2022.
Baadhi ya washiriki wa Kikao na Viongozi wa Mkoa wa Tabora wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao katika kikao hicho kwenye ukumbi wa Isike Mwanakinyungi katika Manispaa ya Tabora, Septemba 8, 2022. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment