July 12, 2022

OMO ILIYOBORESHWA YAZINDULIWA

 

Katibu Tawala wa Uchumi na Uzalishaji Mkoa wa Dar es Salaam, Dr Elizabeth Mshote (kushoto) pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Unilever Tanzania, David Minja kwa pamoja wakizindua muonekano mpya wa sabuni ya OMO iliyoboreshwa zaidi kwenye hafla fupi iliofanyika  jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment