September 28, 2015

WAFANYAKAZI WA MGODI WA BUZWAGI WASHEREKEA SIKU YA FAMILIA NA FAMILIA ZAO



Wageni wakipata maelezo wakati walipotembelea banda la PANAF

Kama vile hawaamini!!!! Ni kweli anacheza na nyoka hivyo?

Kuhakikisha kumbukumbu hii haipotei kamera za simu zikafanya kazi yake

Kikundi hiki cha Ngoma kutoka Shinyanga kilitia fola kwa burudani safi ya Ngoma waliyoitoa.

Baadhi ya maafisa wakuu wa kampuni ya Acacia wakifuatilia burudani ya ngoma

Michel Ash-Afisa Mkuu wa Masuala ya uendeshaji wa kampuni ya Acacia akizungumza na familia pamoja na wafanyakazi wa mgodi wa Buzwagi

Sehemu ya familia za wafanyakazi wa mgodi wa Buzwagi wakiwa wameketi baada ya kutembelea mabanda mbalimbali

 

No comments:

Post a Comment