August 23, 2015

MAELFU WAFURIKA JANGWANI KATIKA UZINDUZI WA KAMPENI ZA CCM


 Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Pombe Magufuli akihutubia halaiki iliyohudhuria uzinduzi wa kampeni zake katika viwanja vya Jwangwani jijini Dar es Salaam leo Agosti 23,2015.
 Wananchi wakidhibitiwa na polisi
Msanii Diamond akitumbuiza. 
 

Wananchi waliojitokeza katika ufunguzi wa kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam leo.

No comments:

Post a Comment