July 16, 2015

MWANASHERIA LUSAJO WILLY AJITOSA UBUNGE KINONDONI

 Mgombea ubunge jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CCM, Lusajo Willy akichukua fomu ya kuwania jimbo hilo kutoka kwa Katibu wa CCM wilaya ya Kinondoni, Othuman Salum Shesha  jijini Dar es Salaam.
  Katibu wa CCM wilaya ya Kinondoni, Athuman Salum Shesha akikabidhi fomu kwa mgombea ubunge jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CCM, Lusajo Willy.
  Mgombea ubunge jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya CCM, Lusajo Willy akiwa na wapambe waliomsindikiza kuchukua fomu ya kuwania ubunge jimbo la Kinondoni.

No comments:

Post a Comment