KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
September 04, 2014
KUTOKA JUKWAANI: HANS POPE WA SIMBA NA UTANI WAKE
Huu yu ni Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa Klabu ya Simba, Zakaria Hans Pope akifanya mzaha na mashabiki wakati akishuhudia mchezo wa kirafiki wa watani wao Yanga dhidi ya Thika United kutoka Kenya Septemba 3 2014 uwanja wa taifa Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment