KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
August 12, 2014
TUJIKUMBUSHE MIAKA ILIYOPITA BOYS II MEN (JK na EDO)
1995. Rais Jakaya Mrisho Kikwete enzi hizo akitangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania na hatimaye ikawa akiwa katika picha ya pamoja na swahiba yake mkubwa, na aliyepata kuwa Waziri Mkuu Edward Ngoyae Lowassa.
No comments:
Post a Comment