November 05, 2013

NSSF NA MPANGO WA KUWAWEZESHA KIUCHUMI WAKULIMA WA KOROSHO

Ufafanuzi.
 Washiri wa kongamano la wawekezaji katika sekta ya Korosho.
 Ofisa Mwandamizi Uwekezaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Salvatory Hinju akifafanua jambo kwa baadhi ya watu waliofika katika banda lao wakati wa kongamano la wawekezaji wa sekta ya korosha lililofanyika jijini Dar es Salaam jana. Katikati ni Ofisa Mkuu Operesheni wa NSSF, Juliet Chalamila.
 Wadau wakipata maelezo kutoka kwa Ofisa Mwandamizi Uwekezaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Salvatory Hinju. Katikati ni Ofisa Mkuu Operesheni wa NSSF, Juliet Chalamila.
 Wadau wakipata maelezo.
Wadau wa sekta ya Korosho wakiwa katika kongamano wa wawekezaji wa zao hilo.Kushoto ni Muhidin Ndolanga na wa pili kushoto ni Ofisa Mwandamizi wa Uwekezaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Tajudin Kamugisha.

No comments:

Post a Comment