KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
September 10, 2013
RAIS KIKWETE ASIMIKWA KUWA MTEMI WA SUNGUSUNGU KITAIFA
Chifu
wa Wasukuma Wilaya ya Kwimba Shimbi Martin Morgan akimabidhi silaha za
jadi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa sherehe za kumtawaza kuwa
Mtemi wa Sungusungu Kitaifa, zilizofanyika kijiji Ngudu, Wilayani Kwimba
Mkoa wa Mwanza.
No comments:
Post a Comment