May 30, 2013

WASHINDI WA SHINDANO LA GFC KATIKA PICHA

Washindi wa kwanza wa nusu fainali ya pili ya Guinness Football Challenge Emmanuel Okraku Kofi(kushoto) na Isaac Aryee(kulia) katika picha ya pamoja na waendeshaji wa kipindi hicho Larry     Asego na Mimi kalinda.
Washindi wa pili wa nusu fainali ya pili ya Guinness Football Challenge Ephatus Nyambura(kulia) na Samuel Papa(kushoto) katika picha ya pamoja na waendeshaji wa kipindi hicho Larry Asego na Mimi kalinda.

No comments:

Post a Comment