May 24, 2013

MINJA ASHINDA MILIONI 1 YA WINDA NA USHINDE YA BIA YA SERENGETI

 Meneja wa bia ya Serengeti Allan Chonjo, akiongea na mshindi wa droo ya kwanza ya Winda na Ushinde kwa njia ya simu iliyochezeshwa leo katika ofisi za Kampuni ya bia ya Serengeti jijini Dar es Salaam
 Meneja mauzo na masoko wa kampuni ya Push Mobile Media Rugambo Rodney(katikati) akiwaonesha kitu Afisa mwandamizi wa PWC Tumainieli Malisa(kushoto) na kulia ni Meneja wa bia ya Serengeti Allan Chonjo.
Meneja wa Bia ya Serengeti Allan Chonjo (katikati) akizungumza kwa njia ya simu na mshindi wa 1,000,000 wakati wa kuchezesha droo ya kwanza ya Winda na Ushinde leo katika ofisi za Kampuni ya bia ya Serengeti, akiwa pamoja na Meneja mauzo na masoko Rugambo Rodney(kulia) na Afisa mwandamizi wa PWC Tumainieli Malisa(kushoto). 
Meneja wa bia ya Serengeti Allan Chonjo, akimtangaza Honest Minja(38) mshindi wa Tsh 1,000,000 wa droo ya kwanza ya Winda na Ushinde kwa wana habari katika droo iliyochezeshwa leo katika ofisi za Kampuni ya bia ya Serengeti jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment