![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhGP1Umtx_MUGwhMCZ5iXw7gqQPsz7rJ1cG8e7SyVptX6dxrBoPODwSgzy6S8Ed655zeFs7BdTKpo7l6kvCHyhm6sypK0X9PDOmw6PNAfoLff4WrdnzLDEmT1yG8PJ8H3qSXe0KCpzENXI/s280/FKB_9420.jpg)
WAKATI
wakenya na wakisubiri kwa hamu kubwa Matokeo ya uchaguzi wa nafasi ya Urais
ambao walipiga kura Machi 4 mwaka huu bado Wagombea wawili Uhuru Kenyata na
Raila Odinga wanavutana vikali kutafuta asiliamia 50% ya kura zote zilizopigwa
waibuke washindi.
Hadi sasa
Uhuru Kenyata amesha jizolea kura 4,819, 194 sawa na 49.59% hivyo
kumfannya atafute asiliamia chache ya kura ajishindie kiti cha Urais na Raila
Odinga amesha jipatia kura 4,323,153 sawa na 44.1%.
Matokeo hayo wakati wowote yaweza kuwa tayari.
No comments:
Post a Comment