KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
November 09, 2012
Malindi yaichabanga Duma mabao 2 - 0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Grand Malt Zanzibar
Mlinzi
wa timu ya Duma, Mohamed Omar Mussa (kushoto) akipambana na
mshambuliaji wa Malindi, Abdallah Abbas, ligi kuu ya Grand Malt ya
Zanzibar, uwanja wa Amaan jana.
Malindi 2 - 0 Duma.
No comments:
Post a Comment