KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
October 24, 2012
Mwanamuziki Freddy Kanuti afariki dunia
Mwanamuziki mwingine afariki leo hii. Mwanamuziki mpiga Bass
Freddy Kanuti ambaye anatoka katika familia ya wanamuziki, ambayo siku
za karibuni walianzisha bendi ya familia PFJ Band amefariki dunia mchana
huu. Mungu amlaze pema peponi.
No comments:
Post a Comment