KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
June 18, 2012
Tanzania yapokea faru 2 toka Uingereza
Waziri wa Malisili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki akipeana mkono na Balozi wa Uingereza nchini. Bi. Dianne Corner mara baada ya balozi kukabidhi faru watatu walioletwa nchini kutoka Uingereza kwa ajili ya Hifadhi ya Taifa ya Mkomazi.
No comments:
Post a Comment