December 31, 2011

JK akutana na Katibu Mkuu Kiongozi

Rais Jakaya Kikwete akiongea na Katibu Mkuu Kiongozi mstaafu Mh Philemon Luhanjo (kulia) na Katibu Mkuu kiongozi mteule Balozi Ombeni Sefue ofisini kwake Ikulu Dar es salaam (jana) Ijumaa usiku mara baada ya kufanya uteuzi huo.

No comments:

Post a Comment