KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
July 24, 2011
Stellah Robert ndie Redds Miss Kinondoni 2011
Mrembo Stellah Robert usiku wa Julai 23,2011 ametawazwa kuwa malkia wa Kanda ya Kinondoni jijini Dar es Salaanm katika shindano la kukata na shoka.Stellah pia alikuwa ni Miss Dar Indian Ocean.
No comments:
Post a Comment