KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
December 01, 2009
Polisi amwagiwa kinyesi na kibaka
Askari kanzi ambaye alipakazwa kinyesi na mtuhumiwa wakati akimkamata katikati ya jiji la Dar es Salaam mchana wa leo.
Kibaka aliyempaka kinyesi askari akiwa chini ya ulinzi wa Askari kanzu.
huyo kibaka ataomba akutane na osama bin laden kuliko kufika huko nanhii
ReplyDelete