
Yatima wa Unguja wakifuturu

Baadhi ya watoto yatima wakipakua chakula kwaajili ya futari iliyoandaliwa na Taasisi ya Vodacom Foundations mjini Unguja juzi. Vodacom
inaendelea na kampeni yake ya kufutarisha Watoto Yatima wanaoishi katika mazingira Magumu pamoja na kuwapatia zawadi mbalimbali nchini kote.
No comments:
Post a Comment