KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
September 29, 2009
Tanzania sare na Afrika kusini
Timu ya Taifa ya Mpira wa Pete (Netiboli) ya Tanzania leo imelazimishwa sare ya bangili 31 kwa 31 dhidi ya Afrika ya Kusini katika mchezo wa Kimataifa wa mpira wa petre uliofanyika jioni hii Uwanja mpya wa Taifa Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment