KATIKA GAZETI TANDO HILI UTAWEZA KUJIPATIA HABARI MOTO MOTO KATIKA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA NDANI NA NJE YA TANZANIA HASA YALE YANAYOGUSA MAISHA YA KILA SIKU YA MTANZANIA.LUGHA KUU INAYOTUMIKA HUMU NI KISWAHILI.
September 05, 2009
Mwongozo wa waathirika wa VVU wazinduliwa.
Mama Kikwete akitoa nasaha zake.
Mke wa Rais, Salma Kikwete akihutubia Kongamano la Mwongozo wa kupinga unyanyapaa dhidi ya waathirika wa Ukimwi Dar es Salaam leo. Pia alizindua Mwongozo huo wa Kupinga unyanyapaa kwa waathirika.
No comments:
Post a Comment