August 05, 2009

Mradi wa Maji

Padre Timothy Coday wa Shirika la Kanisa Katoliki la Damu Azizi ya Yesu akimwonesha Rais Jakaya Mrisho Kikwete pampu katika kituo cha maji alichokizindua katika mji wa Manyoni,Mkoani Singida
Agosti 5 2009.

No comments:

Post a Comment