August 12, 2009

Mkutano wa Mazingira Korea

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Ras Mazingira Mh. Dkt Batida Burian, akiwasilisha mada ya 'Green New Deal' Mpango mpya wa Kijani katika siku ya pili ya Kongamano la Kimataifa la Mazingira Linalofanyika Mjini Incheon Nchini Korea ya Kusini.

No comments:

Post a Comment